Östersund

From Wikipedia, the free encyclopedia

Östersund
Remove ads

Östersund ni mji nchini Uswidi. Kuna wakazi 43,796 (mwaka 2005). Mji ulianzishwa Karne ya 18. Ni mji mkuu wa jimbo la Jämtland.

Thumb
Mji iliyofunikwa na theluji
Thumb

Utamaduni na burudani

Östersund ina cafes na migahawa kadhaa.

Jiografia

Eneo lake ni 26.84 km². Iko kando ya Ziwa Frösön.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Uswidi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Östersund kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads