4G

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

4G Ni vizazi vya nne vya broadband mtandao wa simu teknolojia, vikifuatia 3G na kuvipita 5G. Mfumo wa 4G lazima utoe uwezo uliowekwa na ITU katika IMT Advanced.

Hata hivyo, mwezi Desemba 2010, ITU iliongeza ufafanuzi wake wa 4G kujumuisha Long Term Evolution (LTE), Worldwide Interoperability for Microwave Access (WiMAX), na Evolved High Speed Packet Access (HSPA+).[1]

Kiwango cha kwanza cha WiMAX kilianza kutumika kibiashara nchini Korea Kusini mwaka 2006 na tangu wakati huo kimepelekwa sehemu kubwa duniani.

[2]

Teknolojia ya 4G inachukua 58% ya soko la teknolojia ya mawasiliano ya simu duniani.[3]

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads