Abdallah Chikota

mwanasiasa wa Tanzania From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Abdallah Dadi Chikota Nanyamba (amezaliwa 28 Februari 1966) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha CCM, pia ni mwalimu kitaaluma. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Nanyamba (Mtwara Vijijini) kwa miaka 20152020. [1] [2]

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads