Abdon
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Abdon (kwa Kiebrania עַבְדּוֹן, ‘Aḇdōn, "Mtumishi" au "Utumishi") alikuwa mmojawapo kati ya Waamuzi wa Biblia.
Kadiri ya Waamuzi 12:13-15 alikuwa wa kabila la Efraimu akaongoza Israeli kwa miaka 8[1].
Alikuwa na watoto wa kiume 40 na wajukuu wa kiume 30, ambao kila mmoja alikuwa na punda wake. Hii inaonyesha alikuwa tajiri.
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads