Adalar

From Wikipedia, the free encyclopedia

Adalar
Remove ads

Adalar (pia: Prens Adaları, Kiing. Princes' Islands) ni sehemu ya jiji la Istanbul kwenye kanda ya Marmara huko nchini Uturuki.

Thumb
Muonekano wa Wilaya ya Adalar

Ni sehemu ya visiwa ndani ya Bahari ya Marmara na jina la Kituruki linamaanisha pia "visiwa". Kuna visiwa vikubwa vinne Büyükada ("kisiwa kikubwa", km2 5.46(, Heybeliada (km2 2.4), Burgazada (km2 1.5) na Kınalıada (km2 1.3), pamoja na visiwa vidogo tano.


Remove ads

Viungo vya Nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Adalar kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads