Aguascalientes (jimbo)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Aguascalientes (jimbo)
Remove ads

Aguascalientes (kwa Kihispania: maji moto) ni moja kati ya majimbo 31 ya Mexiko upande wa Mexiko ya kati ya nchi. Ni jimbo dogo lenye eneo la 5,471 km² na wakazi 1,065,416 pekee.

Thumb
Jimbo la Aguascalientes, Mexico
Thumb
Bendera ya Aguascalientes
Thumb
Mahali pa Aguascalientes katika Mexiko

Mji mkuu na mji mkubwa ni Aguascalientes.

Imepakana na Zacatecas na Jalisco. Imekuwa jimbo ya Mexiko tangu 1857.

Gavana wa jimbo ni Luis Armando Reynoso Femat.

Lugha rasmi ni Kihispania

Remove ads

Miji Mikubwa

  1. Aguascalientes (663,671)


Viungo vya Nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Aguascalientes (jimbo) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads