Jalisco

From Wikipedia, the free encyclopedia

Jalisco
Remove ads

Jalisco (kwa Kinahuatl: tambarare ya mchanga) ni moja kati ya majimbo 31 ya Mexico ya kati-magharibi ya nchi. Ina pwani na Pasifiki. Mji mkuu na mji mkubwa ni Guadalajara.

Thumb
Puerto Vallarta, Jalisco
Thumb
Bendera ya Jalisco
Thumb
Mahali pa Jalisco katika Mexiko

Imepakana na Nayarit, Zacatecas, Aguascalientes, San Luis Potosí, Guanajuato, Colima na Michoacán.

Jimbo lina wakazi wapatao 7,000,000 (2005) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 79,085.

Gavana wa jimbo ni Emilio González Márquez.

Lugha rasmi ni Kihispania.

Remove ads

Miji Mikubwa

  1. Guadalajara (1,579,174)
  2. Puerto Vallarta (177,830)
  3. Lagos de Moreno (92,716)
  4. Ciudad Guzmán (90,000)

Viungo vya Nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Jalisco kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads