Air Tanzania

From Wikipedia, the free encyclopedia

Air Tanzania
Remove ads

Air Tanzania ni kampuni ya ndege ya taifa la Tanzania.

Ukweli wa haraka IATA TC, ICAO ATC ...

Shirika la Ndege la Tanzania linahudumia vituo kumi na tatu - kumi na viwili ndani ya nchi na kimoja cha kimataifa.

Dar es Salaam hutumika kama kiungio cha safari za anga kati ya viwanja vya ndege vya Entebbe, Hahaya, Johannesburg, Mwanza, Kilimanjaro, Mtwara, Zanzibar, n.k.

Hivyo ndege zote za Air Tanzania hutua Dar es Salaam na zinafungwa huko.

Remove ads

Pichɑ

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Air Tanzania kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads