Taifa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Taifa
Remove ads

Taifa ni kundi lolote la binadamu lenye utamaduni wake maalumu na mapokeo yake katika historia ya eneo fulani. Mara nyingi umoja wake unategemea pia lugha.

Thumb
Wanamuziki wa muziki wa asili kutoka taifa la Nigeria.

Kila mojawapo lina haki ya kujitambua hivyo na kuhamasisha mshikamano kati ya watu wanaoliunda hata kujipatia uhuru wa kisiasa walau kwa kiasi fulani.

Katika Kilatini linatumika neno natio linalotokana na nasci ("kuzaliwa").

Katika ngazi ya chini tunakuta kundi linaloitwa kabila.

Remove ads

Marejeo

  • Anderson, Benedict (1983). Imagined Communities. London: Verso Publications.
  • Gellner, Ernest (1983). Nations and Nationalism. Cambridge: Blackwell.
  • James, Paul (1996). Nation Formation: Towards a Theory of Abstract Community. London: Sage Publications.
  • James, Paul (2006). Globalism, Nationalism, Tribalism: Bringing Theory Back In —Volume 2 of Towards a Theory of Abstract Community. London: Sage Publications.
  • Smith, Anthony (1986). The Ethnic Origins of Nations. London: Blackwell.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads