Aisha Taymur

From Wikipedia, the free encyclopedia

Aisha Taymur
Remove ads

Aisha Taymur (kwa Kiarabu: عائشة عصمت تيمور‎ au Aisha al-Taymuriyya عائشة التيمورية‎; 18401902) alikuwa mwanaharakati wa kijamii,mshairi, mwandishi wa riwaya na mwanaharakati wa haki za binadamu wa nchini Misri katika enzi za milki ya Ottoman.[1] Mwanzoni mwa karne ya 19 alijishughulisha na kutetea haki za wanawake.

Ukweli wa haraka Amezaliwa, Amekufa ...


Thumb
Picha ya Aisha Taymur
Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads