Ajmān

From Wikipedia, the free encyclopedia

Ajmān
Remove ads

Ajman (kwa Kiarabu: عجمان‎, 'Aǧmān) ni emirati mojawapo ya Shirikisho la Falme za Kiarabu kwenye rasi ya Uarabuni, upande wa Ghuba ya Uajemi. Ni pia jina la mji mkuu ambao una 90% ya wakazi wote na emirati.

Thumb
Mji wa Ajmān
Thumb
Falme za Kiarabu.

Mtawala wake ni Sheikh Humaid bin Rashid Al Nuaimi (tangu 1981).

Utemi una wakazi 240,000 (2014) katika eneo la km² 260 tu.

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads