Akatistos

From Wikipedia, the free encyclopedia

Akatistos
Remove ads

Akatistos (kwa Kigiriki: Ἀκάθιστος Ὕμνος, "utenzi usiotaka ukae"[1]) ni utenzi wa Ukristo wa mashariki kwa nafsi mojawapo ya Utatu Mtakatifu, kwa tukio fulani la kalenda ya liturujia, au kwa mtakatifu yeyote.

Akatistos kwa lugha ya Kislavi cha Kikanisa. Oikos One.
Thumb
Picha takatifu ya Theotokos akisali, Kanisa kuu la Spasky, Yaroslavl (karne ya 13).
Thumb
Akatistos ya Theotokos. Sehemu ya mchoro wa ukutani, 1644, Kremlin, Moscow, Urusi.
Remove ads

Akatistos ya Bikira Maria

Akatistos maarufu zaidi ni ile iliyoandikwa katika karne ya 7 kwa heshima ya Mama wa Mungu. Mtunzi wake hajulikani kwa hakika.

Kwa sasa imeenea hata katika Kanisa la magharibi na kuna tafsiri mbili katika lugha ya Kiswahili: moja ya Waorthodoksi wa Kenya, nyingine ya Wakatoliki wa Tanzania.

Pia, kuna picha takatifu za Theotokos zinazojulikana kwa jina "Akatistos".

Tanbihi

Matini kwa Kigiriki

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads