Akatistos
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Akatistos (kwa Kigiriki: Ἀκάθιστος Ὕμνος, "utenzi usiotaka ukae"[1]) ni utenzi wa Ukristo wa mashariki kwa nafsi mojawapo ya Utatu Mtakatifu, kwa tukio fulani la kalenda ya liturujia, au kwa mtakatifu yeyote.


Remove ads
Akatistos ya Bikira Maria
Akatistos maarufu zaidi ni ile iliyoandikwa katika karne ya 7 kwa heshima ya Mama wa Mungu. Mtunzi wake hajulikani kwa hakika.
Kwa sasa imeenea hata katika Kanisa la magharibi na kuna tafsiri mbili katika lugha ya Kiswahili: moja ya Waorthodoksi wa Kenya, nyingine ya Wakatoliki wa Tanzania.
Pia, kuna picha takatifu za Theotokos zinazojulikana kwa jina "Akatistos".
Tanbihi
Matini kwa Kigiriki
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads