Al Qadarif (jimbo)
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Al Qadarif (kwa Kiarabu: القضارف Gadaref, Gadarif au Qadārif) ni moja ya Wilayat au majimbo 18 ya Sudan. Lina ukubwa wa eneo la km² 75,263 na wakazi wanaokadiriwa kuwa 1,400,000 (2000).
Al Qadarif ndio mji mkuu wa jimbo hili; miji mingine ni pamoja na Doka.
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads