Al Qadarif (jimbo)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Al Qadarif (jimbo)
Remove ads

14°0′N 35°0′E

Thumb
Al-Qadarif

Al Qadarif (kwa Kiarabu: القضارف Gadaref, Gadarif au Qadārif) ni moja ya Wilayat au majimbo 18 ya Sudan. Lina ukubwa wa eneo la km² 75,263 na wakazi wanaokadiriwa kuwa 1,400,000 (2000).

Al Qadarif ndio mji mkuu wa jimbo hili; miji mingine ni pamoja na Doka.

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads