Albuquerque, New Mexico

From Wikipedia, the free encyclopedia

Albuquerque, New Mexico
Remove ads

Albuquerque ni mji mkubwa wa jimbo la New Mexico nchini Marekani. Kuna wakazi 484,246 (2004) na pamoja na rundiko la mji ni 712,000. Mji upo m 1,619 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Thumb
Mji wa Albuquerque, New Mexico
Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...

Mji uko katika eneo kati ya mto Rio Grande na milima ya Sandia.

Eneo la Albuquerque liliwahi kukaliwa na Maindio tangu mwaka 1100. Mnamo mwaka 1540 conquistador Mhispania wa kwanza Francisco Vásquez de Coronado alipita hapa mara ya kwanza akitafuta mji ya dhahabu.

Mji uliundwa na walowezi Wahispania 1706 na kupewa jina kwa heshima ya Francisco Fernández de la Cueva mtemi wa Albuquerque na mfalme mdogo wa Hispania Mpya. Pamoja na eneo lote la New Mexiko mji ulihamishwa chini ya Marekani katika karne ya 19.

Kitovu cha kihistoria bado kina majengo ya zamani ya Kihispania. Kuna pia wakazi wengi kidogo wenye asili ya Kihispania na wengine huendelea kutumua lugha ya Kihispania.

Thumb
Ukweli wa haraka
Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Albuquerque, New Mexico kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads