Allah

From Wikipedia, the free encyclopedia

Allah
Remove ads

Allah ni neno la Kiarabu (الله, Allāh, kutokana na al ilāh, kwa Kiingereza "the God") linalorejea Mungu pekee[1][2], muumba wa mbingu, dunia na vyote vilivyomo.

Thumb
Herufi za Kiarabu zinazounda neno "Allah":
1. alif
2. hamzat waṣl (همزة وصل)
3. lām
4. lām
5. shadda (شدة)
6. dagger alif (ألف خنجرية)
7. hāʾ

Hasa linatumika katika dini ya Uislamu,[3] lakini pia Wayahudi wanaoongea Kiarabu na Wakristo Waarabu na wa nchi nyingine (kama vile Malaysia[4][5][6]) wanamwita Mungu "Allah" tangu kabla ya Mtume Muhammad[7][8][9][10].

Hata dini za Bahai na Kalasinga zinamuita Mungu hivyo.

Remove ads

Tanbihi

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads