Alofi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Alofi
Remove ads

Alofi ni mji mkuu wa nchi ya kisiwani cha Niue katika bahari ya Pasifiki.

Thumb

Alofi ina wakazi 614 (2001). Kuna vijiji viwili vya Alofi North (wakazi 256) na Alofi South penye majengo ya serikali (wakazi 358).

Alofi iko kwenye pwani ya magharibi ya kisiwa, kando ya hori ya Alofi.

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads