Amiba

From Wikipedia, the free encyclopedia

Amiba
Remove ads

Amiba (kutoka Kiingereza "amoeba"[1]) ni jamii ya vijidudu vidogo sana visivyoonekana kwa macho ambavyo huishi kwenye maji na kwenye udongo, lakini pia katika mwili wa viumbehai wengine, vikisababisha pengine maradhi mbalimbali.

Thumb
"Amiba jitu", Chaos carolinense.

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads