Angelo Comastri

From Wikipedia, the free encyclopedia

Angelo Comastri
Remove ads

Angelo Comastri (alizaliwa 17 Septemba 1943) ni askofu wa Kanisa Katoliki kutoka Italia.

Thumb
Angelo Comastri

Alikuwa Mkuu wa Basilika la Mtakatifu Petro kuanzia mwaka 2006 hadi 2021, na alihudumu kama Makamu wa Papa kwa Vatikani na Rais wa Wajenzi wa kanisa la Mtakatifu Petro kuanzia mwaka 2005 hadi 2021.

Kabla ya hapo, alihudumu kama Askofu wa Massa Marittima-Piombino (1990–1994) halafu Askofu wa Loreto (1996–2005). Aliteuliwa kuwa kardinali mwaka 2007.[1]

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads