Anthropolojia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Anthropolojia
Remove ads

Anthropolojia ni fani ya elimu inayochunguza pande zote binadamu kuanzia wale wa kale[1][2][3].

Thumb
Lewis Henry Morgan
Thumb
Bronisław Malinowski
Thumb
Margaret Mead
Thumb
Edward Sapir
Thumb
Claude Lévi-Strauss

Matawi yake mbalimbali yanachunguza maisha ya jamii, utamaduni pamoja na taratibu na tunu, athari ya lugha, mabadiliko ya kimwili n.k.[1][2][3]

Kwa vyovyote, anthropolojia inahitaji ushirikiano wa sayansi mbalimbali, ikiwemo teolojia.

Akiolojia inaweza kutazamwa kama sehemu ya anthropolojia (k.mf. Marekani[4] ) au ya historia, lakini pia kama fani ya pekee (k.mf. Ulaya).

Remove ads

Jina

Jina linatokana na neno la Kiingereza anthropology lililotumika mara ya kwanza kwa Kilatini mwaka 1593 kuhusiana na historia.[5][[6][7] Asili yake ni maneno mawili ya Kigiriki, ἄνθρωπος, ánthrōpos "mtu") na λόγος, lógos, "neno, somo, elimu").[5]

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads