Aprikoti

From Wikipedia, the free encyclopedia

Aprikoti
Remove ads

Aprikoti ni tunda la mwaprikoti, mti wa jenasi Prunus katika familia Rosaceae.

Thumb
Aprikoti zima na jingine lililokatwa.

Kwa kawaida, maaprikoti ni matunda ya spishi P. armeniaca, lakini P. brigantina, P. mandshurica, P. mume, na P. sibirica yanahusiana sana na matunda yao pia huitwa aprikoti.

Picha

Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Aprikoti kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads