Jenasi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Jenasi (kutoka Kigiriki Γένος genos / Kilatini genus "nasaba, ukoo, familia, aina")[1] ni ngazi katika uainishaji wa kisayansi unaopanga viumbehai (mimea, wanyama) katika vikundi kulingana na nasaba zao.

Thumb
Ngazi za uainishaji katika biolojia; ngazi ndogo za kati hazionyeshwi

Jenasi moja huwa na spishi ndani yake. Jenasi kwa pamoja hupangwa katika familia.

Katika jina la Kisayansi la kiumbehai ni lazima kutaja jenasi. Kwa mfano paka anaitwa "Felis silvestris catus". Felis ni jina la jenasi. Jenasi huandikwa kwa herufi kubwa.

Remove ads

Maelezo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads