Arubaini
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Arubaini au arobaini (kutoka neno la Kiarabu أربعون) ni namba inayoandikwa 40 kwa tarakimu za kawaida na XL kwa zile za Kirumi.
Ni namba asilia inayofuata 39 na kutangulia 41.
Vigawo vyake vya namba tasa ni: 2 x 2 x 2 x 5.
Matumizi
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads