Ashuru

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Ashuru (ebr. אַשּׁוּר ) ni jina la mtu katika kitabu cha Mwanzo cha Biblia.

Kufuatana na masimulizi ya Mwanzo 10:11 alikuwa mwana wa pili wa Shemu mwana wa Nuhu. Kaka zake waliitwa Elamu, Arfaksadi, Ludi na Aramu[1].

Hakuna taarifa katika Biblia kuhusu ukoo wa Ashuru.

Ashuru ni pia jina la mji wa Ashuru na milki ya Ashuru na maeneo yao.

Katika Mwa. 10:11 haieleweki vizuri kama jina "Ashuru" linamtaja mtu au mji[2]. Matoleo ya Biblia kwa lugha mbalimbali zinatafsiri tofauti hapa.

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads