Askofu wa jimbo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Askofu wa jimbo ni askofu ambayo anachunga kwa mamlaka kamili jimbo fulani. Kwa msingi huo anatofautiana na askofu mwandamizi, askofu msaidizi n.k.

Katika Kanisa Katoliki[1]ni kazi yake kufundisha, kutakasa na kuongoza waamini wote wa jimbo lake [2]akisaidiwa na mapadri na mashemasi.[3]

Footnotes

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads