Assam

From Wikipedia, the free encyclopedia

Assam
Remove ads

Assam ni jimbo ya Uhindi.

Thumb
Moja ya Sehemu ya mji ndani ya jimbo la wa Assam
Thumb
Mahali pa Assam katika Uhindi
Thumb
Ramani ya Assam

Iko upande wa kaskazini mashariki mwa India, ikipakana na Bangladesh na Buthan.

Eneo lake ni kilomita mraba 78,438 na wakazi wake ni 31,205,576 (2011).

Mji mkuu wake ni Dispur.

Tazama pia

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Uhindi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Assam kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads