Aubin-Thierry Goporo

Mchezaji na kocha wa mpira wa kikapu Afrika ya kati From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Aubin-Thierry Goporo (alizaliwa tarehe 15 mei 1968) ni kocha wa mpira wa kikapu Afrika ya kati pia alikuwa mchezaji apo awali ambaye ni mkurugenzi wa maendeleo timu ya wanafunzi ,Tennessee Volunteers basketball team.[1] Alicheza mpira wa kikapu chuoni Florida Tech Panthers na kihitimu mwaka 1996.Goporo alikuwa kaitka timu ya taifa ya kikapu Jamhuri ya Afrika ya kati iliyo shiriki Olimpiki mwaka 1988, alikuwa kocha wa mwaka 2015 kwanye mashindano ya FIBA Afrika.[2]

Maelezo zaidi Nafasi, Ligi ...

Ni kaka wa mchezaji wa mpira wa kikapu na kocha Frédéricque Rufin Goporo.[3]

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads