Avaris
Eneo la makumbusho lililopo Misri From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Avaris ulikuwa mji mkuu wa Hyksos wa Misri ulio katika eneo la sasa la Tell el-Dab'a, kaskazini-mashariki mwa Delta ya Nile.
Njia kuu ya Mto Nile ilipohamia mashariki, nafasi yake katika kitovu cha delta emporia ya Misri iliifanya kuwa mji mkuu unaofaa kwa biashara.[1] Ilichukuliwa kuanzia karibu karne ya 18 KK hadi ilipotekwa na Ahmose I.
Picha
- Ramani ya kale ya misri ikionesha mji wa avaris
- Sanamu lilipo katika mji wa Avaris
- Scarab iliyo na jina la Hyksos Mfalme Apepi, ambayo sasa iko kwenye Makumbusho ya Sanaa Nzuri, Boston
- Sehemu ya fresco ya Minoan iliyopatikana Avaris, Misri. Mchoro huu unafanana sana na fresco mwingine kutoka Knossos, Crete.
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads