Baba Levo

mwanasiasa wa ACT Wazalendo na pia mtangazaji wa radio From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Clayton Revocatus Chipando (maarufu kama Baba Levo; jina lingine la kisanii ni Obd; alizaliwa Kigoma, 6 Juni 1986) ni mwanasiasa, mwimbaji, mtunzi wa muziki na msanii wa Bongo Flava kutoka Tanzania.[1][2]

Ukweli wa haraka Amezaliwa, Asili yake ...
Remove ads

Mafanikio

Baba Levo pia ni mhamasishaji (kiing. influencer) maarufu zaidi nchini Tanzania akiwa ameshinda tuzo mbili.

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads