Baba Levo
mwanasiasa wa ACT Wazalendo na pia mtangazaji wa radio From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Clayton Revocatus Chipando (maarufu kwa jina la kisanii kama Baba Levo; jina lingine la kisanii ni Obd; alizaliwa Kigoma, 6 Juni 1986) ni mwanasiasa, mwimbaji, mtunzi wa muziki wa Tanzania na msanii wa Bongo Flava kutoka Tanzania.[1][2]
Remove ads
Mafanikio
Baba Levo pia ni mhamasishaji (kiing. influencer, kifar. influenceur) maarufu zaidi nchini Tanzania akiwa ameshinda tuzo mbili.
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads