Baba Levo

mwanasiasa wa ACT Wazalendo na pia mtangazaji wa radio From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Clayton Revocatus Chipando (maarufu kwa jina la kisanii kama Baba Levo; jina lingine la kisanii ni Obd; alizaliwa Kigoma, 6 Juni 1986) ni mwanasiasa, mwimbaji, mtunzi wa muziki wa Tanzania na msanii wa Bongo Flava kutoka Tanzania.[1][2]

Ukweli wa haraka Amezaliwa, Asili yake ...
Remove ads

Mafanikio

Baba Levo pia ni mhamasishaji (kiing. influencer, kifar. influenceur) maarufu zaidi nchini Tanzania akiwa ameshinda tuzo mbili.

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads