Abhairege
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Abhairege (pia Abairegi , Bairege) ni moja ya koo za Wakurya katika maeneo upande wa mashariki wa ziwa Nyanza Viktoria la Afrika ya Mashariki. Watu hao wapo mashariki mwa Wakurya wengine katika mkoa wa Mara nchini Tanzania na huko Kenya magharibi mwa Mkoa wa Nyanza-
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads