Mkoa wa Nyanza

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mkoa wa Nyanza
Remove ads

Nyanza ni mkoa wa magharibi ya Kenya kando la ziwa Viktoria Nyanza. Mji mkuu ni Kisumu. Mkoa umepakana na Tanzania, Uganda halafu mikoa ya Kenya ya Magharibi na Bonde la Ufa.

Mikoa ya Kenya
Mkoa wa Nyanza
Nyanza Province
Thumb
Makao MakuuKisumu
Mji MkubwaKisumu
Eneo

- Jumla
Nafasi ya 6 kati ya mikoa ya Kenya
12,507 km²
Wakazi


 - Jumla (2007)  - Msongamano wa watu / km²
Nafasi ya 3 kati ya mikoa ya Kenya
4,889,700
391/km²
Lugha mkoani Kiluo
Kigusii
Kikuria

Nyanza ina wakazi zaidi ya milioni tano. Walio wengi ni Waluo, halafu Wakisii, Wakuria na Waluhya.

Remove ads

Wilaya


Maelezo zaidi Mikoa ya Kenya ...
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads