Baraza la Sanaa la Taifa
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) lilianzishwa mwaka 1984 kupitia sheria ya serikali kwa lengo la kuwa chombo cha kuratibu na kukuza sanaa, muziki, na sanaa za maonesho nchini Tanzania. Baraza la Muziki la Taifa (BAMUTA) lililoanzishwa mwaka 1974, liliunganishwa na BASATA wakati wa kuanzishwa kwake[1][2].
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads