Baraza la Sanaa la Taifa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) lilianzishwa mwaka 1984 kupitia sheria ya serikali kwa lengo la kuwa chombo cha kuratibu na kukuza sanaa, muziki, na sanaa za maonesho nchini Tanzania. Baraza la Muziki la Taifa (BAMUTA) lililoanzishwa mwaka 1974, liliunganishwa na BASATA wakati wa kuanzishwa kwake[1][2].

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads