Basmala

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Basmala (Ar. بسملة‎ basmala) ni jina kwa maneno ya Bismillah (بسم الله‎ "Kwa jina la Mungu/Allah", kamili "b-ismi-llāhi r-raḥmāni r-raḥīmi") ambayo ni maneno ya ufunguzi kwa sura za Kurani[1]. Ar-rahman („mwenye rehema“) na Ar-rahim („mwenye neema“) ni pia kati ya majina 99 ya Allah.

Thumb
Basmala kama kaligrafia kwa maandishi ya Kiarabu.

Waislamu hutumia maneno haya mara nyingi kwa mfano kila wanapoanza sala au kazi muhimu kama vile kabla ya kula chakula, kabla ya safari, wakati wa kuingia katika msikiti, wakati wa kuzika maiti.

Katika sanaa ya Kiislamu basmala hutumiwa mara nyingi kama kaligrafia.

Remove ads

Picha

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads