Bertram Brockhouse

Mwanafizikia wa Kanada From Wikipedia, the free encyclopedia

Bertram Brockhouse
Remove ads

Bertram Brockhouse (15 Julai 1918 - 13 Oktoba 2003) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Kanada. Hasa alichunguza sehemu za atomu. Mwaka wa 1994, pamoja na Clifford Shull alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

'

Ukweli wa haraka Amezaliwa, Amefariki ...
Thumb

Bertram Brockhouse alikuwa mtaalamu mashuhuri na mwanasayansi wa kipekee ambaye mchango wake ulisaidia kubadilisha njia tunavyoelewa muundo wa vifaa. Kupitia kazi yake, alisaidia kufungua mlango kwa matumizi mengi ya neutron scattering katika sayansi na teknolojia.

Makala hii kuhusu mshindi wa Tuzo ya Nobel bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Bertram Brockhouse kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads