Mwanasayansi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mwanasayansi
Remove ads

Mwanasayansi ni mtu anayejihusisha na shughuli maalumu ili kupata maarifa. Kwa maana pana zaidi, mwanasayansi anaweza kutajwa kama mtu anayetumia mbinu za kisayansi.[1] Mtu huyo anaweza kuwa mtaalamu katika eneo moja au zaidi ya sayansi.[2]

Thumb
Wanasayansi wa kemia katika maabara ya Chuo Kikuu cha La Rioja.

Wanasayansi hufanya utafiti kuelekea uelewa mkubwa zaidi wa uasilia, ikiwa ni pamoja na ulimwengu kimwili, kihisabati na kijamii. Kwa kawaida wanasukumwa na udadisi wao.

Remove ads

Tanbihi

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads