Bilbao

From Wikipedia, the free encyclopedia

Bilbao
Remove ads

Bilbao (kwa Kieuskara: Bilbo) ni mji wa Hispania kaskazini, makao makuu ya jumuia ya kujitegemea ya Nchi ya Kieuskara.

Thumb
Picha za Bilbao.

Tarehe 1 Januari 2015 wakazi wake walikuwa 345,141, lakini rundiko la mji lina watu 1,037,847.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads