Blantyre (Malawi)
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Blantyre ni jiji la pili kwa ukubwa nchini Malawi. Mnamo 2018, watu 800,264 waliishi huko [1].
Ni kitovu cha biashara na benki nchini Malawi. Blantyre ni makao makuu ya Kanda ya Kusini na Wilaya ya Blantyre.
Tazama pia
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads