Boksi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Boksi (kutoka Kiingereza "box"; kwa Kiswahili linaitwa pia "sanduku") ni kifaa ambacho mara nyingi kimeundwa na karatasi gumu.

Maboksi yapo ya maumbo mbalimbali kama mraba, pembetatu, mstatili n.k.
Boksi pia hutumika kuhifadhi vitu mbalimbali kama simu, runinga n.k.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads