Boksi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Boksi
Remove ads

Boksi (kutoka Kiingereza "box"; kwa Kiswahili linaitwa pia "sanduku") ni kifaa ambacho mara nyingi kimeundwa na karatasi gumu.

Thumb
mfano wa boksi linalo hifadhi risasi

Maboksi yapo ya maumbo mbalimbali kama mraba, pembetatu, mstatili n.k.

Boksi pia hutumika kuhifadhi vitu mbalimbali kama simu, runinga n.k.

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads