Boma (Kongo)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Boma (Kongo)map
Remove ads

Boma ni mji wa Kongo Kati, katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (zamani ilijulikana kama Zaire).

Thumb
Makanisa makuu ya Boma.
Thumb
Sehemu nyingine ya mji wa Boma.

Makadirio ya idadi ya watu ni 162,521 (2012).

Boma ulikuwa mji mkuu wa Kongo ya Kibelgiji hadi mwaka 1926.

Tazama pia

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads