Bona

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Bona ni kati ya watawa wa Misri waliouawa kwa ajili ya imani yao ya Kikristo.

Kwa kuwa hayajulikani mengine kuhusu historia yake, haorodheshwi tena na Martyrologium Romanum.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 12 Septemba.

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads