Borussia Dortmund

From Wikipedia, the free encyclopedia

Borussia Dortmund
Remove ads

Borussia Dortmund ni klabu ya mpira wa miguu ya nchini Ujerumani. Ni klabu ya michezo ya kitaalamu ya Ujerumani iliyoko jiji la Dortmund. Inajulikana zaidi kwa timu yake ya mpira wa miguu ya wanaume, ambayo inacheza katika Bundesliga. Klabu hiyo imeshinda michuano minane ya ligi, makombe matano ya DFB-Pokal, kombe moja la Ligi ya mabingwa barani Ulaya UEFA, Kombe moja la mabara(International club cup), na Kombe la Washindi wa UEFA Cup.[1] Rangi za Borussia Dortmund ni nyeusi na njano.[2]

Thumb
Nembo ya Borussia Dortmund
Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads