Bou Regreg

From Wikipedia, the free encyclopedia

Bou Regreg
Remove ads

Bouregreg (Kiarabu أبورقراق ou abou rāqrāq) ni mto wa Moroko mwenye urefu wa 240 km. Chanzo chake ni katika milima ya Atlas karibu na mlima wa Jebel Mtourzgane kwenye kimo cha 1627 m juu ya UB. Mdomo uko kati ya mji ya Rabat na Sale. Pande zote mbili za mdomo wa mto palikuwa eneo la Jamhuri ya Bou Regreg iliyojumlisha mjiji ya Rabat na Sale.

Ukweli wa haraka Mto wa Bou Regreg ...

Bouregreg ni kati ya mito mikubwa wa Moroko.

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads