Bou Regreg
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Bouregreg (Kiarabu أبورقراق ou abou rāqrāq) ni mto wa Moroko mwenye urefu wa 240 km. Chanzo chake ni katika milima ya Atlas karibu na mlima wa Jebel Mtourzgane kwenye kimo cha 1627 m juu ya UB. Mdomo uko kati ya mji ya Rabat na Sale. Pande zote mbili za mdomo wa mto palikuwa eneo la Jamhuri ya Bou Regreg iliyojumlisha mjiji ya Rabat na Sale.
Bouregreg ni kati ya mito mikubwa wa Moroko.
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads