Bunda
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Bunda ni mji mdogo na makao makuu ya Wilaya ya Bunda katika Mkoa wa Mara, Tanzania. Eneo la mji linajumlisha kata za Balili, Bunda Mjini, Bunda Stoo na Nyasura. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata za mji wa Bunda zina wakazi wapatao 63,001 waishio humo. [1]
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads