Cherchell
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Cherchell ni mji uliopo Algeria katika pwani ya Mediteranea, kilomita 89 magharibi mwa Algiers.



Ni mji mkuu katika wilaya ya Cherchell, mkoa wa Tipaza. Mji huo uliitwa kwa majina ya Iol na Iol na Caesarea, ulikuwa koloni la Roma na mji mkuu wa ufalme wa Numidia na Mauretania.
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads