Chrome OS
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
ChromeOS ambayo wakati mwingine hujulikana kama chromeOS na ambayo hapo awali ijulikana kama Chrome OS, ni usambazaji wa Linux uliotengenezwa na iliyoundwa na Google. Inatokana na mfumo wa uendeshaji wa ChromiumOS wa chanzo huria na hutumia kivinjari cha wavuti cha Google Chrome kama kiolesura chake kikuu cha mtumiaji[1].

Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads