Wingu vundevunde

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wingu vundevunde
Remove ads

Wingu vundevunde (kwa Kilatini/Kiingereza: cirrus, "shungi la nywele") ni wingu la fuwele za barafu linalopatikana kwa kimo kikubwa. Mawingu vundevunde huonekana kama nyuzi nyeupe au kanda nyembamba angani[1].

Thumb
Anga iliyojaa aina mbaimbali za mawingu vundevunde

Mawingu hayo hutokea kwenye kimo cha mita 16,500 hadi 45,000.

Kutoka kwenye uso wa Dunia, mawingu vundevunde huonekana kuwa na rangi nyeupe au kijivu. Yanaundwa wakati mvuke wa maji hupitia kimo cha mita 5,500 ambako baridi huongezeka, hivyo mvuke unaganda na kuunda fuwele za barafu.

Kwa kawaida kimo cha mawingu hayo ni mita 8,000–12,000 juu ya usawa wa bahari.

Remove ads

Tanbihi

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads