Wingu vundevunde
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Wingu vundevunde (kwa Kilatini/Kiingereza: cirrus, "shungi la nywele") ni wingu la fuwele za barafu linalopatikana kwa kimo kikubwa. Mawingu vundevunde huonekana kama nyuzi nyeupe au kanda nyembamba angani[1].

Mawingu hayo hutokea kwenye kimo cha mita 16,500 hadi 45,000.
Kutoka kwenye uso wa Dunia, mawingu vundevunde huonekana kuwa na rangi nyeupe au kijivu. Yanaundwa wakati mvuke wa maji hupitia kimo cha mita 5,500 ambako baridi huongezeka, hivyo mvuke unaganda na kuunda fuwele za barafu.
Kwa kawaida kimo cha mawingu hayo ni mita 8,000–12,000 juu ya usawa wa bahari.
Remove ads
Tanbihi
Viungo vya Nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads