Colombo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Colombo
Remove ads

Colombo ni mji mkubwa wa Sri Lanka wenye wakazi 647,100 (2001).[1] Ilikuwa mji mkuu wa nchi hii tangu mwaka 1814 mpaka mwaka 1978.

Thumb
Sehemu ya Mji wa Colombo


Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...

Asili ya jina ni neno la Kisinhala "Kolamba" linalomaanisha bandari.

Remove ads

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads