Cormega

From Wikipedia, the free encyclopedia

Cormega
Remove ads

Cory McKay (anajulikana kwa jina la kisanii kama Cormega au Mega) ni rapa na mtunzi wa nyimbo kutoka mjini New York City huko nchini Marekani.

Ukweli wa haraka Taarifa za awali, Jina la kuzaliwa ...
Remove ads

Maisha ya awali

Cormega alizaliwa mjini Brooklyn, NY na kukulia katika maeneo mbalimbali ya mjini humo New York City, alijenga urafiki wa utotoni na marapa wa baadaye kama vile Nas, Nature, na Capone .[1][2] Maudhui mengi katika muziki wake yanahusu hasa marafiki na nduguze waliouawa kwa kufuatia machafuko au ukorofi katika maisha yao.

Diskografia

Thumb
Orono, Maine

Albamu

Maelezo zaidi Jina, Maelezo ya albamu ...

Albamu za kompilesheni

Maelezo zaidi Jina, Maelezo ya albamu ...

Vibao vyake

Maelezo zaidi Mwaka, Wimbo ...
Remove ads

Marejeo

Viungo vya nje

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads