Dancehall

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Dancehall ni aina ya muziki maarufu sana nchini Jamaica na ulimwenguni kwa ujumla. Aina hii ya muziki ilianza mwishoni mwa miaka ya 1970 na kuendelezwa vyema katika miaka ya 1980 na kuja kutambulikana ulimwenguni kote kwenye miaka ya 1990.[1] Muziki huu ni kombinenga la muziki wa reggae, hip hop, na R&B.

Ukweli wa haraka Asili ya mtindo, Asili ya utamaduni ...
Remove ads

Marejeo

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads