Dannebrog
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Dannebrog (zamani pia huandikwa Danebrog) ni jina la bendera ya Denmark lililopatikana tangu zamani za mfalme Valdemar katika karne ya 13 BK. Ni bendera ya kale ya kitaifa duniani inayoendelea kutumiwa bila mabadiliko hadi leo.

Danebrog imekuwa kielelezo ya bendera zote za nchi za Skandinavia.
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads