Desibeli
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Desibel (kutoka Kiingereza: decibel; kifupi: dB) ni kizio cha upimaji wa nguvu au ukali. Kinalinganisha vipimo viwili kwa kutumia logi.
Matumizi yake ni hasa katika upimaji wa sauti na katika teknolojia ya umeme kwa kutaja kuongezeka au kupungua kwa volteji au sauti.
Kizio cha msingi ni "bel" na desibel ni sehemu yake ya kumi.
Nyongeza ya desibeli 3 inalingana takriban na kuzidisha nguvu mara mbili.
Kizio cha msingi cha bel kilipata jina lake kwa kumbukumbu ya Alexander Graham Bell aliyekuwa mmoja wa wabunifu wa simu.
Mara nyingi, desibeli hutumiwa kutaja ukubwa wa sauti kulingana na jinsi tunavyoisikia.
Decibel si kipimo sanifu cha SI.
Baadhi ya mifano ya sauti ni:
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads